Leteipa the King
Página inicial > L > Leteipa the King > Nimeshafika x Jay dih Mikasi

Nimeshafika x Jay dih Mikasi

Leteipa the King


Lalala, OOh nanana
mwambie mama
Vampk mwambie mama
Vampk mwambie mama
dih mikasi top, na Vampk

AAh, mwambie mama nimeshafika
mhh tena mi nimefika salama
ooh mwambie mama nimeshafika
eeh Tena mi nimefika salama

Hilo Jiji la Loitokitok
ntalikosa Sana
yeye anajua ilivyonichoma mama
Nyumbani dhiki, ikanibidi niende mbali
ntawakosa Mimi naenda kutafuta Mali
acha niende mimi nanikija ujidai mama
acha niende mimi nikirudi tufurahi
mama yangu ma ujidaii
mama weeh ufurahi
mama yangu ma ujidai eh
mama yangu we ufurahi

AAh, mwambie mama nimeshafika
mhh tena mi nimefika salama
ooh mwambie mama nimeshafika
eeh Tena mi nimefika salama

mwambie dada, elimu msingi
dunia inakaba
kama mapenzi mama
walipendaga wengi mwisho wakamwagwa
basi na asome na bidii
nampendaga
basi dada asome na bidii
nampendaga

nanivema siku ya Leo umewakumbuka
ndugu zako na marafiki
huku Nyumbani
baba yako aliposikia alifyatuka
dada yako na yeye haonekani Nyumbani
mpenzi wako vaileti wafilisti wanamvizia
wamempa spaghetti siku hizi anaturingia
mama yako ameketi barazani akifikira
heri angezaa Gazeti blanketi
ama sufuria
lakini kuja Nyumbani we tunakungoja
(Ruudii)
hata kama wamekung'oa jicho Moja
(Ruudi) yeyeyeiyeeh

AAh, mwambie mama nimeshafika
mhh tena mi nimefika salama
ooh mwambie mama nimeshafika
eeh Tena mi nimefika salama

AAh, mwambie mama nimeshafika
mhh tena mi nimefika salama
ooh mwambie mama nimeshafika
eeh Tena mi nimefika salama

Letra enviada por

Encontrou algum erro na letra? Por favor, envie uma correção >

Compartilhe
esta música

Ouça estações relacionadas a Leteipa the King no Vagalume.FM

ESTAÇÕES